Home Podcasts Matukio ya Taifa: Rais William Ruto amekashifu maandamano ya Azimio

Matukio ya Taifa: Rais William Ruto amekashifu maandamano ya Azimio

0
President William Ruto

Rais William Ruto amekashifu ghasia maandamano ya hapo jana yaliyosababisha vifo na majeraha na uharibifu wa mali nchini.

Maandamano haya yaliyofanywa na muungano wa Azimio yamepelekea nchi kupoteza jumla ya shilingi bilioni tatu kulingana na muungano wa wafanyi biashara wa kibinafsi (KEPSA).

kra