Home Podcasts Matukio ya Taifa: Maaskofu Wakatoliki wasihi serikali kuondoa vitabu potovu mashuleni Podcasts Matukio ya Taifa: Maaskofu Wakatoliki wasihi serikali kuondoa vitabu potovu mashuleni By KBC Digital - August 15, 2023 0 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Baraza la maaskofu wakatoliki nchini (KCCB) linaitaka wizara ya elimu kuviondoa madukani vitabu vya gredi ya saba wanavyodai vinatoa elimu potovu inayokiuka maadili katika jamii.